Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 127:4 - Swahili Revised Union Version

Kama mishale mkononi mwa shujaa, Ndivyo walivyo watoto wa ujanani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watoto waliozaliwa wazazi wakiwa bado vijana, ni kama mishale mikononi mwa askari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watoto waliozaliwa wazazi wakiwa bado vijana, ni kama mishale mikononi mwa askari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watoto waliozaliwa wazazi wakiwa bado vijana, ni kama mishale mikononi mwa askari.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama mishale mkononi mwa shujaa, Ndivyo walivyo watoto wa ujanani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 127:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mishale ya mtu hodari iliyochongoka, Pamoja na makaa ya mretemu.


Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.


Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,


Kwa maana juu ya Babeli nitaamsha na kuleta kusanyiko la mataifa makubwa, toka nchi ya kaskazini; nao watajipanga juu yake; kutoka huko atatwaliwa; mishale yao itakuwa kama ya mtu shujaa aliye stadi; hakuna hata mmoja utakaorudi bure.