Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:6 - Swahili Revised Union Version

6 Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Wazee huwaonea fahari wajukuu zao; watoto huwaonea fahari wazazi wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Wazee huwaonea fahari wajukuu zao; watoto huwaonea fahari wazazi wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Wazee huwaonea fahari wajukuu zao; watoto huwaonea fahari wazazi wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wana wa wana ni taji la wazee, nao wazazi ni fahari ya watoto wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wana wa wana ni taji la wazee, nao wazazi ni fahari ya watoto wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.

Tazama sura Nakili




Methali 17:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli akamwambia Yusufu, Sikudhani ya kwamba nitakuona uso wako, na Mungu amenionesha na uzao wako pia.


Yusufu akaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu; na wana wa Makiri, mwana wa Manase, walizaliwa magotini mwa Yusufu.


Walakini katika siku zako sitafanya haya, kwa ajili ya Daudi baba yako; nitaurarua utoke katika mkono wa mwana wako.


Lakini kwa ajili ya Daudi, BWANA, Mungu wake, akampa taa humo Yerusalemu, amwinue mwanawe baada yake, na kuufanya imara Yerusalemu;


Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Mwana humheshimu baba yake, na mtumishi humcha bwana wake; basi, kama mimi ni baba yenu, heshima yangu iko wapi? Na kama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki wapi? BWANA wa majeshi awauliza ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau jina langu. Nanyi mwasema, Tumelidharau jina lako kwa jinsi gani?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo