Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 102:7 - Swahili Revised Union Version

Nakesha, tena nimekuwa kama shomoro Aliye peke yake juu ya nyumba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninalala macho wazi, kama ndege mkiwa juu ya paa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninalala macho wazi, kama ndege mkiwa juu ya paa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninalala macho wazi, kama ndege mkiwa juu ya paa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilalapo sipati usingizi; nimekuwa kama ndege mpweke kwenye paa la nyumba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilalapo sipati usingizi, nimekuwa kama ndege mpweke kwenye paa la nyumba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nakesha, tena nimekuwa kama shomoro Aliye peke yake juu ya nyumba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 102:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni ndugu yao mbwamwitu, Ni mwenzao mbuni.


Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.


Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.


Wanipendao na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; Na jamaa zangu wanasimama mbali.


Ulizishika kope za macho yangu zisifumbike; Nilitaabika nisiweze kunena.