Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 102:6 - Swahili Revised Union Version

6 Nimekuwa kama ndege wa jangwani, Na kufanana na bundi katika mahame.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nimekuwa kama ndege wa jangwani; kama bundi kwenye mahame.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nimekuwa kama ndege wa jangwani; kama bundi kwenye mahame.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nimekuwa kama ndege wa jangwani; kama bundi kwenye mahame.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nimekuwa kama bundi wa jangwani, kama bundi kwenye magofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nimekuwa kama bundi wa jangwani, kama bundi kwenye magofu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Nimekuwa kama ndege wa jangwani, Na kufanana na bundi katika mahame.

Tazama sura Nakili




Zaburi 102:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.


Kama mbayuwayu au korongo ndivyo nilivyolia; Niliomboleza kama hua; macho yangu yamedhoofu kwa kutazama juu; Ee BWANA, nimeonewa, na uwe mdhamini wangu.


na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;


Kwa ajili ya hayo nitaomboleza na kulia, Nitakwenda nimevua nguo, nikiwa uchi; Nitaomboleza kama mbweha, Na kulia kama mbuni.


Na makundi ya wanyama watalala kati yake, wanyama wote wa mataifa; bundi na kunguru watakaa juu ya vichwa vya nguzo zake; sauti yao itasikiwa madirishani; vizingitini mwake mtakuwa ukiwa; kwa maana ameifunua kazi ya mierezi.


Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ulio mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo