Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 102:5 - Swahili Revised Union Version

5 Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu, nimebakia ngozi na mifupa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu, nimebakia ngozi na mifupa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 102:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.


Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakibubujikia kitanda changu; Nililowesha godoro langu kwa machozi yangu.


Ondokeni kwangu, ninyi nyote mtendao uovu; Kwa kuwa BWANA ameisikia sauti ya kilio changu.


Asubuhi yachipuka na kumea, Jioni yakatika na kukauka.


Moyo uliochangamka ni dawa nzuri; Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.


Nyuso zao ni nyeusi kuliko makaa; Hawajulikani katika njia kuu; Ngozi yao yagandamana na mifupa yao Imekauka, imekuwa kama mti.


Tena mumewe akafanya hivyo mwaka kwa mwaka, hapo yule mwanamke alipokwea kwenda nyumbani kwa BWANA, ndivyo yule alivyomchokoza; basi, kwa hiyo, yeye akalia, asile chakula.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo