Zaburi 102:5 - Swahili Revised Union Version5 Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu, nimebakia ngozi na mifupa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu, nimebakia ngozi na mifupa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu. Tazama sura |