Zaburi 102:4 - Swahili Revised Union Version4 Moyo wangu umepigwa kama majani na kukauka, Naam, ninasahau kula chakula changu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Nimepondwa moyoni kama nyasi na kunyauka; sina hata hamu ya chakula. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Nimepondwa moyoni kama nyasi na kunyauka; sina hata hamu ya chakula. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Nimepondwa moyoni kama nyasi na kunyauka; sina hata hamu ya chakula. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani; ninasahau kula chakula changu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani, ninasahau kula chakula changu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Moyo wangu umepigwa kama majani na kukauka, Naam, ninasahau kula chakula changu. Tazama sura |