Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 102:6 - Swahili Revised Union Version

Nimekuwa kama ndege wa jangwani, Na kufanana na bundi katika mahame.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimekuwa kama ndege wa jangwani; kama bundi kwenye mahame.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimekuwa kama ndege wa jangwani; kama bundi kwenye mahame.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimekuwa kama ndege wa jangwani; kama bundi kwenye mahame.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimekuwa kama bundi wa jangwani, kama bundi kwenye magofu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimekuwa kama bundi wa jangwani, kama bundi kwenye magofu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimekuwa kama ndege wa jangwani, Na kufanana na bundi katika mahame.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 102:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.


Kama mbayuwayu au korongo ndivyo nilivyolia; Niliomboleza kama hua; macho yangu yamedhoofu kwa kutazama juu; Ee BWANA, nimeonewa, na uwe mdhamini wangu.


na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;


Kwa ajili ya hayo nitaomboleza na kulia, Nitakwenda nimevua nguo, nikiwa uchi; Nitaomboleza kama mbweha, Na kulia kama mbuni.


Na makundi ya wanyama watalala kati yake, wanyama wote wa mataifa; bundi na kunguru watakaa juu ya vichwa vya nguzo zake; sauti yao itasikiwa madirishani; vizingitini mwake mtakuwa ukiwa; kwa maana ameifunua kazi ya mierezi.


Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ulio mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza;