Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 102:10 - Swahili Revised Union Version

Kwa sababu ya ghadhabu yako na hasira yako; Maana umeniinua na kunitupilia mbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwa sababu ya ghadhabu na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwa sababu ya ghadhabu na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwa sababu ya ghadhabu na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu ya ghadhabu yako kuu, kwa maana umeniinua na kunitupa kando.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu ya ghadhabu yako kuu, kwa maana umeniinua na kunitupa kando.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu ya ghadhabu yako na hasira yako; Maana umeniinua na kunitupilia mbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 102:10
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ukitaka kwenda, haya, jitie nguvu upigane; Mungu atakuangusha mbele ya adui; maana Mungu anazo nguvu za kusaidia, na kuangusha.


BWANA huwategemeza wenye upole, Huwaangusha chini wenye jeuri.


Kwa maana nitaungama uovu wangu, Na kusikitika kwa dhambi zangu.


Hamna uzima katika mwili wangu Kwa sababu ya ghadhabu yako. Wala hamna amani mifupani mwangu Kwa sababu ya hatia zangu.


Ukimrudi mtu kwa kumkemea kwa uovu wake, Watowesha uzuri wake kama nondo. Kila mwanadamu ni ubatili.


Nayakumbuka mambo haya kwa uchungu moyoni mwangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza hadi katika nyumba ya Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.


BWANA ndiye mwenye haki; Maana nimeiasi amri yake; Sikieni, nawasihi, enyi watu wote, Mkayatazame majonzi yangu; Wasichana wangu na wavulana wangu Wamechukuliwa mateka.


Taji ya kichwa chetu imeanguka; Ole wetu! Kwa kuwa tumetenda dhambi.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


twaudhiwa, bali hatuachwi; twatupwa chini, bali hatuangamizwi;