Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:41 - Swahili Revised Union Version

Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, Eshtaoli, Irishemeshi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Sora, Eshtaoli, Ir-shemeshi

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Sora, Eshtaoli, Ir-shemeshi

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Sora, Eshtaoli, Ir-shemeshi

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, Eshtaoli, Irishemeshi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:41
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na jamaa za Kiriath-Yearimu; Waithri, na Waputhi, na Washumathi, na Wamishrai; katika hao walitoka Wasorathi, na Waeshtaoli.


Sora, Aiyaloni, na Hebroni, iliyoko katika Yuda na Benyamini, miji yenye maboma.


Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,


Kisha sehemu ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Dani kwa kufuata jamaa zao.


Shaalabini, Aiyaloni, Ithla;


Palikuwa na mtu mmoja wa Sora, wa jamaa ya Wadani; jina lake akiitwa Manoa; na mkewe alikuwa tasa, hakuzaa watoto.


Roho ya BWANA ikaanza kumtaharakisha katika Mahane-dani, katikati ya Sora na Eshtaoli.


Ndipo ndugu zake, na watu wote wa nyumba ya baba yake wakateremka, wakamtwaa wakamchukua, wakamzika kati ya Sora na Eshtaoli, katika kiwanja cha kuzikia cha Manoa baba yake. Naye alikuwa mwamuzi wa Israeli muda wa miaka ishirini.


Basi wana wa Dani wakatuma watu watano kutoka kwa koo zao zote, watu mashujaa, kutoka Sora, na kutoka Eshtaoli, ili kuipeleleza hiyo nchi, kuikagua; wakawaambia, Haya, endeni mkaikague nchi hii; basi wakaifikia nchi ya vilima vilima ya Efraimu, hadi nyumba ya huyo Mika, Wakalala huko.