Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:42 - Swahili Revised Union Version

42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla;

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:42
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Eliaba, Mshaalboni, na wana wa Yasheni; na Yonathani,


Mwana wa Dekari, kutoka Makasi, na Shaalbimu na Beth-shemeshi na Elon-beth-hanani.


Ndipo Yoshua akanena na BWANA katika siku hiyo ambayo BWANA aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.


Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, Eshtaoli, Irishemeshi;


Eloni, Timna, Ekroni;


na Aiyaloni pamoja na mbuga zake za malisho, na Gath-rimoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.


lakini hao Waamori waliendelea kukaa katika kilima cha Heresi, na katika Aiyaloni, na katika Shaalbimu; pamoja na haya mkono wa hiyo nyumba ya Yusufu ulishinda, hata wakawalazimisha shokoa.


Nao wakawapiga watu miongoni mwa Wafilisti siku ile kutoka Mikmashi mpaka Ayaloni; na hao watu walikuwa wamepungukiwa sana na nguvu.


Naye akapita katika nchi ya milima milima ya Efraimu, akapita katika nchi ya Shalisha, lakini hawakuwaona; kisha wakapita katika nchi ya Shaalimu, wala huko hawakuwako; wakapita katika nchi ya Wabenyamini, lakini hawakuwapata.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo