Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 15:33 - Swahili Revised Union Version

33 Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Katika Shefela: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kwenye shefela ya magharibi: Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,

Tazama sura Nakili




Yoshua 15:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na jamaa za Kiriath-Yearimu; Waithri, na Waputhi, na Washumathi, na Wamishrai; katika hao walitoka Wasorathi, na Waeshtaoli.


Sora, Aiyaloni, na Hebroni, iliyoko katika Yuda na Benyamini, miji yenye maboma.


Wakafika bonde la Eshkoli, na huko wakakata tawi lenye kishada kimoja cha zabibu, wakalichukua kwa mti kati ya watu wawili; wakaleta makomamanga pia, na tini.


Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni; miji hiyo yote ni miji ishirini na tisa, pamoja na vijiji vyake.


Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu;


Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, Eshtaoli, Irishemeshi;


Palikuwa na mtu mmoja wa Sora, wa jamaa ya Wadani; jina lake akiitwa Manoa; na mkewe alikuwa tasa, hakuzaa watoto.


Roho ya BWANA ikaanza kumtaharakisha katika Mahane-dani, katikati ya Sora na Eshtaoli.


Ndipo ndugu zake, na watu wote wa nyumba ya baba yake wakateremka, wakamtwaa wakamchukua, wakamzika kati ya Sora na Eshtaoli, katika kiwanja cha kuzikia cha Manoa baba yake. Naye alikuwa mwamuzi wa Israeli muda wa miaka ishirini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo