Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:40 - Swahili Revised Union Version

40 Kisha sehemu ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Dani kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Kura ya saba ilizipata koo za kabila la Dani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Kura ya saba ilizipata koo za kabila la Dani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Kura ya saba ilizipata koo za kabila la Dani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, kufuatana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Kisha sehemu ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Dani kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:40
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Bilha, kijakazi wa Raheli, ni Dani na Naftali.


Basi, haya ndiyo majina ya makabila hayo; toka mwisho wa pande za kaskazini, karibu na njia ya Hethloni, hadi maingilio ya Hamathi, hadi Hasar-enoni, penye mpaka wa Dameski, yaani, upande wa kaskazini karibu na Hamathi, watakuwa na upande wa mashariki, na upande wa magharibi; Dani fungu moja.


Lakini nchi itagawanywa kwa kura; kwa majina ya makabila ya baba zao, ndivyo watakavyopata urithi.


Basi Yoshua akaipiga nchi hiyo yote, nchi ya vilima, na nchi ya Negebu, na nchi ya Shefela, na nchi ya materemko, na wafalme wake wote; hakumwacha aliyesalia hata mmoja; lakini akawaharibu kabisa wote waliokuwa hai, kama BWANA, Mungu wa Israeli, alivyoamuru.


Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Naftali kwa kufuata jamaa zao; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.


Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, Eshtaoli, Irishemeshi;


Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli; tena katika siku hizo kabila la Wadani wakajitafutia urithi wapate mahali pa kukaa; maana hawakuwa wamepata urithi wao kati ya makabila ya Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo