Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:17 - Swahili Revised Union Version

Kisha sehemu ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari, maana, ni kwa ajili ya wana wa Isakari kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kura ya nne ilizipata koo za kabila la Isakari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kura ya nne ilizipata koo za kabila la Isakari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kura ya nne ilizipata koo za kabila la Isakari.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kura ya nne ikaangukia kabila la Isakari, kufuatana na koo zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha sehemu ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari, na ni kwa ajili ya wana wa Isakari kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Lea ni Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni.


Isakari ni punda hodari, Ajilazaye kati ya mazizi ya kondoo;


Yehoshafati mwana wa Parua, katika Isakari.


Tena mpakani mwa Simeoni, toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; Isakari, fungu moja.


Lakini nchi itagawanywa kwa kura; kwa majina ya makabila ya baba zao, ndivyo watakavyopata urithi.


Huu ndio urithi wa wana wa Zabuloni kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.


Na mpaka wao ulifikia Yezreeli, Kesulothi, Shunemu;


Wa kabila la Simeoni elfu kumi na mbili. Wa kabila la Lawi elfu kumi na mbili. Wa kabila la Isakari elfu kumi na mbili.