Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:16 - Swahili Revised Union Version

16 Huu ndio urithi wa wana wa Zabuloni kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa koo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa koo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hiyo ndiyo sehemu zilizopewa koo za kabila la Zebuluni miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa Zabuloni, kufuatana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Huu ndio urithi wa wana wa Zabuloni kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:16
2 Marejeleo ya Msalaba  

Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.


Kisha sehemu ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari, maana, ni kwa ajili ya wana wa Isakari kwa kufuata jamaa zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo