Hesabu 26:55 - Swahili Revised Union Version55 Lakini nchi itagawanywa kwa kura; kwa majina ya makabila ya baba zao, ndivyo watakavyopata urithi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema55 Hata hivyo ugawaji wa nchi utafanywa kwa kura. Kila kabila litarithi kulingana na majina ya ukoo wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND55 Hata hivyo ugawaji wa nchi utafanywa kwa kura. Kila kabila litarithi kulingana na majina ya ukoo wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza55 Hata hivyo ugawaji wa nchi utafanywa kwa kura. Kila kabila litarithi kulingana na majina ya ukoo wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu55 Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu55 Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI55 Lakini nchi itagawanywa kwa kura; kwa majina ya makabila ya baba zao, ndivyo watakavyopata urithi. Tazama sura |