Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:14 - Swahili Revised Union Version

Nayo ilikuwa sabato, hapo Yesu alipofanya zile tope na kumfumbua macho.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku hiyo Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho mtu huyo, ilikuwa siku ya Sabato.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku hiyo Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho mtu huyo, ilikuwa siku ya Sabato.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku hiyo Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho mtu huyo, ilikuwa siku ya Sabato.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi siku hiyo Isa alitengeneza tope na kuyafungua macho ya huyo mtu ilikuwa Sabato.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi siku hiyo Isa alipotengeneza tope na kuyafungua macho ya huyo mtu ilikuwa Sabato.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nayo ilikuwa sabato, hapo Yesu alipofanya zile tope na kumfumbua macho.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa alipokuwa akipita mashambani siku ya sabato, wanafunzi wake walianza kuendelea njiani wakivunja masuke.


Ikawa alipoingia ndani ya nyumba ya mtu mmoja miongoni mwa wakuu wa Mafarisayo siku ya sabato, ale chakula, walikuwa wakimvizia.


Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwudhi Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya sabato.


Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro lake, akaenda. Nayo ilikuwa ni sabato siku hiyo.


Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani.


Alipokwisha kusema hayo, alitema mate chini, akafanya tope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope machoni,