Yohana 5:16 - Swahili Revised Union Version16 Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwudhi Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya sabato. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa hiyo viongozi wa Wayahudi wakaanza kumsumbua Isa, kwa sababu alikuwa anafanya mambo kama hayo siku ya Sabato. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kumsumbua Isa, kwa sababu alikuwa anafanya mambo kama hayo siku ya Sabato. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Kwa sababu hiyo Wayahudi wakaudhiwa na Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya sabato. Tazama sura |