Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 5:16 - Swahili Revised Union Version

16 Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwudhi Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa hiyo viongozi wa Wayahudi wakaanza kumsumbua Isa, kwa sababu alikuwa anafanya mambo kama hayo siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kumsumbua Isa, kwa sababu alikuwa anafanya mambo kama hayo siku ya Sabato.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Kwa sababu hiyo Wayahudi wakaudhiwa na Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya sabato.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:16
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akaunyosha, ukapona, ukawa mzima kama ule mwingine.


Mara wakatoka wale Mafarisayo, wakawa wakifanya shauri juu yake pamoja na Maherodi, jinsi ya kumwangamiza.


Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.


Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani?


Wakatafuta tena kumkamata; lakini akatoka mikononi mwao.


Likumbukeni lile neno nililowaambia, Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi; ikiwa walilishika neno langu watalishika na lenu.


Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwambia yule aliyeponywa, Leo ni sabato, wala si halali kwako kujitwika godoro.


Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.


Yule mtu akaenda zake, akawapasha habari Wayahudi ya kwamba ni Yesu aliyemfanya kuwa mzima.


Akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.


Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu. Basi Yesu akajibu, akawaambia, Amin, amin, nawaambia,


Yesu akajibu, akawaambia, Mimi nilitenda kazi moja, nanyi nyote mnaistaajabia.


Basi baadhi ya watu wa Yerusalemu wakasema, Je! Huyu siye wanayemtafuta ili wamwue?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo