Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 9:13 - Swahili Revised Union Version

13 Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Wakamleta yule mtu aliyekuwa kipofu hapo awali kwa Mafarisayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Wakamleta kwa Mafarisayo yule mtu aliyekuwa kipofu hapo awali.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani.

Tazama sura Nakili




Yohana 9:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri ya kwamba mtu akimjua alipo, alete habari, ili wapate kumkamata.


Basi Mafarisayo wakasemezana wao kwa wao, Mwaona kwamba hamfai neno lolote; tazameni, ulimwengu umekwenda nyuma yake.


Lakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi.


Wakamwambia, Yuko wapi huyo? Akasema, Mimi sijui.


Nayo ilikuwa sabato, hapo Yesu alipofanya zile tope na kumfumbua macho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo