Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:4 - Swahili Revised Union Version

Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamwambia Isa, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamwambia Isa, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.


Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.


Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake kama hawa; nawe wasemaje?


Akifumaniwa mtu mume amelala na mwanamke aliyeolewa na mume, na wafe wote wawili, mtu mume aliyelala na mwanamke, na yule mwanamke naye; ndivyo utakavyoondoa uovu katika Israeli.


Kisha mumewe akaondoka akamfuata, aseme naye kwa upendo, ili apate kumrudisha tena, naye alikuwa na mtumishi wake pamoja naye na punda kadhaa; huyo mwanamke akamkaribisha katika nyumba ya baba yake; naye baba yake alipomwona akafurahi kuonana naye.