Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 8:4 - Swahili Revised Union Version

4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Kisha wakamwuliza Yesu, “Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wakamwambia Isa, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wakamwambia Isa, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.


Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.


Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.


Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake kama hawa; nawe wasemaje?


Akifumaniwa mtu mume amelala na mwanamke aliyeolewa na mume, na wafe wote wawili, mtu mume aliyelala na mwanamke, na yule mwanamke naye; ndivyo utakavyoondoa uovu katika Israeli.


Kisha mumewe akaondoka akamfuata, aseme naye kwa upendo, ili apate kumrudisha tena, naye alikuwa na mtumishi wake pamoja naye na punda kadhaa; huyo mwanamke akamkaribisha katika nyumba ya baba yake; naye baba yake alipomwona akafurahi kuonana naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo