Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:27 - Swahili Revised Union Version

Wala hawakutambua ya kuwa anawatajia Baba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawakuelewa kuwa alikuwa akiwaambia kuhusu Baba yake wa Mbinguni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawakuelewa kuwa alikuwa akiwaambia juu ya Baba yake wa Mbinguni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala hawakutambua ya kuwa anawatajia Baba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:27
9 Marejeleo ya Msalaba  

Twapapasapapasa kutafuta ukuta kama kipofu, naam, twapapasa kama watu wasio na macho; twajikwaa wakati wa adhuhuri, kana kwamba ni wakati wa ukungu wa alfajiri; kati yao walionenepa tumekuwa kama wafu.


Naye akaniambia, Nenda, ukawaambie watu hawa, Endeleeni kusikia, lakini msifahamu; endeleeni kutazama, lakini msione.


Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu; lakini yeye aliyenituma ni kweli, nami niliyoyasikia kwake, ndiyo ninenayo katika ulimwengu.


Basi Yesu akawaambia, Mtakapokuwa mmekwisha kumwinua Mwana wa Adamu, ndipo mtakapofahamu ya kuwa mimi ndiye; na ya kuwa sifanyi neno kwa nafsi yangu, ila kama Baba alivyonifundisha ndivyo ninenavyo.


Mbona hamyafahamu hayo niyasemayo? Ni kwa sababu ninyi hamuwezi kulisikia neno langu.


Yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu; hivyo ninyi hamsikii kwa sababu ninyi si wa Mungu.