Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:49 - Swahili Revised Union Version

Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini umati huu wa watu wasiojua Torati ya Musa, wamelaaniwa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini huu umati wa watu wasiojua Torati ya Musa, wamelaaniwa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:49
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, lisikieni neno la BWANA, enyi watu wenye dharau, mnaowatawala watu hawa walio ndani ya Yerusalemu.


Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!


watu wasemao, Simama peke yako, usinikaribie mimi, kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe; watu hao ni moshi puani mwangu, moto uwakao mchana kutwa.


Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo?


Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao),


Wakajibu, wakamwambia, Ama! Wewe ulizaliwa katika dhambi tupu, nawe unatufundisha sisi? Wakamtoa nje.


Baadhi ya Mafarisayo waliokuwapo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je! Sisi nasi tu vipofu?