Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:48 - Swahili Revised Union Version

Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:48
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.


Na Pilato akawakutanisha wakuu wa makuhani, na wakubwa, na watu,


Lakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi.


Basi palikuwa na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi.


Na kumbe! Anena waziwazi, wala hawamwambii neno! Inawezekana hao wakuu wanajua hakika ya kuwa huyu ndiye Kristo?


Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.


Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao),


Neno la Mungu likaenea; na hesabu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemu; jamii kubwa ya makuhani wakaitii ile Imani.


Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi mleta hoja wa nyakati hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?


ambayo wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulubisha Bwana wa utukufu.