Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:44 - Swahili Revised Union Version

Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:44
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyeunyosha mkono wake ili kumshika, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Maneno hayo aliyasema alipokuwa akifundisha hekaluni, katika chumba cha hazina; wala hakuna mtu aliyemkamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


kwa kuwa mimi ni pamoja nawe, wala hapana mtu atakayekushambulia ili kukudhuru; kwa maana mimi nina watu wengi katika mji huu.


Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.