Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:11 - Swahili Revised Union Version

Basi Wayahudi wakamtafuta kwenye sikukuu, wakasema, Yuko wapi yule?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; wakauliza, “Yuko wapi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; wakauliza, “Yuko wapi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; wakauliza, “Yuko wapi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Viongozi wa Wayahudi walikuwa wakimtafuta huko kwenye Sikukuu na kuulizana, “Yuko wapi huyu mtu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wayahudi walikuwa wakimtafuta huko kwenye Sikukuu na kuulizana, “Yuko wapi huyu mtu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Wayahudi wakamtafuta kwenye sikukuu, wakasema, Yuko wapi yule?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani?


Basi wao wakamtafuta Yesu, wakasemezana wakiwa wamesimama hekaluni, Mwaonaje? Haji kabisa sikukuu hii?


Na baada ya hayo Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya; maana hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitaka kumwua.


Lakini hakuna mtu aliyemsema waziwazi, kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.


Wayahudi wakastaajabu wakisema, Amepataje huyu kujua elimu, ambaye hakusoma?


Wakamwambia, Yuko wapi huyo? Akasema, Mimi sijui.