Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:11 - Swahili Revised Union Version

11 Basi Wayahudi wakamtafuta kwenye sikukuu, wakasema, Yuko wapi yule?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; wakauliza, “Yuko wapi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; wakauliza, “Yuko wapi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; wakauliza, “Yuko wapi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Viongozi wa Wayahudi walikuwa wakimtafuta huko kwenye Sikukuu na kuulizana, “Yuko wapi huyu mtu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wayahudi walikuwa wakimtafuta huko kwenye Sikukuu na kuulizana, “Yuko wapi huyu mtu?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Basi Wayahudi wakamtafuta kwenye sikukuu, wakasema, Yuko wapi yule?

Tazama sura Nakili




Yohana 7:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani?


Basi wao wakamtafuta Yesu, wakasemezana wakiwa wamesimama hekaluni, Mwaonaje? Haji kabisa sikukuu hii?


Na baada ya hayo Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya; maana hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitaka kumwua.


Lakini hakuna mtu aliyemsema waziwazi, kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.


Wayahudi wakastaajabu wakisema, Amepataje huyu kujua elimu, ambaye hakusoma?


Wakamwambia, Yuko wapi huyo? Akasema, Mimi sijui.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo