Yohana 7:13 - Swahili Revised Union Version13 Lakini hakuna mtu aliyemsema waziwazi, kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Lakini hakuna mtu yeyote aliyemsema waziwazi kwa sababu ya kuwaogopa viongozi wa Wayahudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Lakini hakuna mtu yeyote aliyemsema waziwazi kumhusu kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Lakini hakuna mtu aliyemsema waziwazi, kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi. Tazama sura |