Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 6:59 - Swahili Revised Union Version

Maneno hayo aliyasema katika sinagogi, alipokuwa akifundisha, huko Kapernaumu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sinagogi huko Kapernaumu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno hayo aliyasema katika sinagogi, alipokuwa akifundisha, huko Kapernaumu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 6:59
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.


Akashuka mpaka Kapernaumu, mji wa Galilaya, akawa akiwafundisha siku ya sabato;


Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu waziwazi; sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi wote; wala mimi sikusema neno lolote kwa siri.


wakapanda katika mashua, wakaanza kuivuka bahari kwenda Kapernaumu. Nako kumekwisha kuwa giza, wala Yesu hajawafikia.


Basi mkutano, walipoona ya kuwa Yesu hayuko huko wala wanafunzi wake, waliingia mashuani wenyewe, wakaenda Kapernaumu wakimtafuta Yesu.