Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:58 - Swahili Revised Union Version

58 Hiki ndicho chakula kishukacho kutoka mbinguni; si kama mababa walivyokula, wakafa; bali akilaye chakula hicho ataishi milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

58 Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

58 Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

58 Hiki ndicho chakula kishukacho kutoka mbinguni; si kama mababa walivyokula, wakafa; bali akilaye chakula hicho ataishi milele.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:58
6 Marejeleo ya Msalaba  

naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Amin, amin, nawaambia, Yeye alisikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma ana uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka mautini kuingia uzimani.


Basi Wayahudi wakamnung'unikia, kwa sababu alisema, Mimi ni chakula kilichoshuka kutoka mbinguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo