Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 6:49 - Swahili Revised Union Version

Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 6:49
8 Marejeleo ya Msalaba  

Je, Baba zenu wako wapi? Je, manabii nao wanaishi milele?


Kwa kuwa BWANA alisema juu yao, Hapana budi watakufa nyikani. Napo hapakusalia mtu mmoja miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


Baba zetu waliila mana jangwani kama vile ilivyoandikwa, Aliwapa chakula cha mbinguni ili wale.


Hiki ndicho chakula kishukacho kutoka mbinguni; si kama mababa walivyokula, wakafa; bali akilaye chakula hicho ataishi milele.


Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, akiisha kuwaokoa watu katika nchi ya Misri, aliwaangamiza baadaye wale wasioamini.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.