Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zekaria 1:5 - Swahili Revised Union Version

5 Je, Baba zenu wako wapi? Je, manabii nao wanaishi milele?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Wazee wenu, wako wapi? Na manabii, je, wanaishi milele?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Wazee wenu, wako wapi? Na manabii, je, wanaishi milele?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Wazee wenu, wako wapi? Na manabii, je, wanaishi milele?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Wako wapi baba zako sasa? Nao manabii, je, wanaishi milele?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Wako wapi baba zako sasa? Nao manabii, je, wanaishi milele?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Je, Baba zenu wako wapi? Je, manabii nao wanaishi milele?

Tazama sura Nakili




Zekaria 1:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Elisha alikuwa ameshikwa na ugonjwa wake uliomwua; naye Yehoashi mfalme wa Israeli akateremka amtazame, akamlilia mbele yake, akasema, Baba yangu! Baba yangu! Gari la Israeli na wapanda farasi wake!


Elisha akafa, nao wakamzika. Basi vikosi vya Wamoabi wakaingia katika nchi mwanzo wa mwaka.


Miaka ya maisha yetu ni sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Tena kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana wakati unapita upesi nasi kutokomea punde.


Kizazi huenda, kizazi huja; nayo dunia hudumu daima.


Naam, wataogopa kilichoinuka Na vitisho vitakuwapo njiani; Na mlozi utachanua maua; Na panzi atakuwa ni mzigo mzito; Na pilipili hoho itapasuka; Maana mtu aiendea nyumba yake ya milele, Nao waombolezao wazunguka njiani.


Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.


Haya! Twaa wewe gombo lingine, ukaandike ndani yake maneno yote ya kwanza, yaliyokuwa katika gombo la kwanza, ambalo Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, ameliteketeza.


Baba zetu walitenda dhambi hata hawako; Na sisi tumeyachukua maovu yao.


Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng'amua ya kuwa una pepo. Abrahamu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele.


Kwa maana Daudi, akiisha kulitumikia shauri la Mungu katika kizazi chake, alilala, akawekwa pamoja na baba zake, akaona uharibifu.


Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;


Akafa Samweli; nao Israeli wote wakakusanyika, wakamwomboleza, wakamzika nyumbani mwake huko Rama. Kisha Daudi akaondoka, akashuka mpaka nyikani mwa Maoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo