Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 6:36 - Swahili Revised Union Version

Lakini niliwaambia ya kwamba mmeniona wala hamwamini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini niliwaambia ya kwamba mmeniona wala hamwamini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 6:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.


Lakini ingawa amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, hawakumwamini;


Kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu, na kutuchukia.


Yesu akawajibu, akasema, Amin, amin, nawaambieni, Ninyi mnanitafuta, si kwa sababu mliona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.


Wakamwambia, Unafanya ishara gani basi, ili tuione tukakuamini? Unatenda kazi gani?


Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala yeyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.


Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.


Lakini kuna wengine miongoni mwenu wasioamini. Kwa maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini, naye ni nani atakayemsaliti.