Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:36 - Swahili Revised Union Version

36 Lakini niliwaambia ya kwamba mmeniona wala hamwamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Lakini kama nilivyowaambia, mmeniona lakini bado hamwamini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Lakini niliwaambia ya kwamba mmeniona wala hamwamini.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.


Lakini ingawa amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, hawakumwamini;


Kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu, na kutuchukia.


Yesu akawajibu, akasema, Amin, amin, nawaambieni, Ninyi mnanitafuta, si kwa sababu mliona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.


Wakamwambia, Unafanya ishara gani basi, ili tuione tukakuamini? Unatenda kazi gani?


Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala yeyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.


Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.


Lakini kuna wengine miongoni mwenu wasioamini. Kwa maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini, naye ni nani atakayemsaliti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo