Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 12:37 - Swahili Revised Union Version

37 Lakini ingawa amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, hawakumwamini;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Ingawa Yesu alifanya miujiza hii yote mbele yao, wao hawakumwamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Ingawa Yesu alifanya miujiza hii yote mbele yao, wao hawakumwamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Ingawa Yesu alifanya miujiza hii yote mbele yao, wao hawakumwamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Hata baada ya Isa kufanya miujiza hii yote mbele yao, bado hawakumwamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Hata baada ya Isa kufanya miujiza hii yote mbele yao, bado hawakumwamini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

37 Lakini ingawa amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, hawakumwamini;

Tazama sura Nakili




Yohana 12:37
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akaanza kuikemea miji ile ambamo ndani yake ilifanyika miujiza yake iliyo mingi, kwa sababu haikutubu.


Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.


Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.


Nami nilijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nilisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.


Maadamu mnayo nuru, iaminini nuru hiyo, ili mpate kuwa wana wa nuru. Hayo aliyasema Yesu, akaenda zake, akajificha wasimwone.


ili litimie lile neno la nabii Isaya alilolisema, Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu; Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?


Kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu, na kutuchukia.


Mwanzo huo wa ishara Yesu aliufanya huko Kana ya Galilaya, akaudhihirisha utukufu wake, nao wanafunzi wake wakamwamini.


Na mkutano mkuu wakamfuata, kwa sababu waliziona ishara alizowafanyia wagonjwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo