Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 5:41 - Swahili Revised Union Version

Mimi siupokei utukufu kwa wanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mimi sikubali kutukuzwa na wanadamu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mimi sitafuti kutukuzwa na wanadamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi siupokei utukufu kwa wanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 5:41
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.


Si kwamba ninaupokea ushuhuda wa wanadamu; lakini ninasema haya ili ninyi mpate kuokoka.


Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima.


Lakini nimewajua ninyi ya kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu.


Mnawezaje kuamini ninyi mnaopokeana utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti?


Kisha Yesu, alipotambua ya kuwa walitaka kuja kumshika ili wamfanye mfalme, akajitenga, akaenda tena mlimani yeye peke yake.


Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.


Wala mimi siutafuti utukufu wangu; kuna yule autafutaye na ndiye hakimu.


Yesu akajibu, Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu.


Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu, wala kwenu, wala kwa wengine, ingawa tungeweza kuwalemea kama Mitume wa Kristo;


Kwa sababu ndio mlioitiwa; maana Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akawaachia kielelezo, mfuate nyayo zake.


Maana alipata heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba hapo alipoletewa sauti iliyotoka katika utukufu mkuu, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.