Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 12:43 - Swahili Revised Union Version

43 Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Wao walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zinazotoka kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Wao walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

43 Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu.

Tazama sura Nakili




Yohana 12:43
20 Marejeleo ya Msalaba  

Wakwasi wote wa dunia watakula na kusujudu, Humwinamia wote washukao mavumbini; Naam, yeye asiyeweza kujihuisha nafsi yake,


Kuwaogopa wanadamu huleta mtego; Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama.


Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu.


Akawaambia, Ninyi ndinyi mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu awajua mioyo yenu; kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.


Akamwambia, Vema, mtumwa mwema; kwa vile ulivyokuwa mwaminifu katika neno lililo dogo, uwe na mamlaka juu ya miji kumi.


Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.


Mimi siupokei utukufu kwa wanadamu.


Mnawezaje kuamini ninyi mnaopokeana utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti?


Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.


Yesu akajibu, Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu.


bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko; ambaye sifa yake haitoki kwa wanadamu bali kwa Mungu.


wale ambao kwa subira katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutoharibika, watapewa uzima wa milele;


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Maana mtu mwenye kukubaliwa si yeye ajisifuye, bali yeye asifiwaye na Bwana.


Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu, wala kwenu, wala kwa wengine, ingawa tungeweza kuwalemea kama Mitume wa Kristo;


bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.


Akasema, Nimekosa; lakini uniheshimu sasa, nakuomba, mbele ya wazee wa watu wangu, na mbele ya Israeli, rudi pamoja nami, nimwabudu BWANA, Mungu wako.


Kwa sababu hiyo, BWANA, Mungu wa Israeli, asema, Ni kweli, nilisema ya kuwa nyumba yako, na nyumba ya baba yako itakwenda mbele zangu milele; lakini sasa BWANA asema, Jambo hili na liwe mbali nami; kwa maana wao wanaoniheshimu nitawaheshimu, na wao wanaonidharau nitawadharau.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo