Yohana 5:40 - Swahili Revised Union Version40 Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema40 Hata hivyo, nyinyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND40 Hata hivyo, nyinyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza40 Hata hivyo, nyinyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uhai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu40 Lakini mnakataa kuja kwangu ili mpate uzima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu40 Lakini mnakataa kuja kwangu ili mpate uzima. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI40 Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima. Tazama sura |
Basi, nilipokuja, mbona hapakuwa na mtu? Nilipoita, mbona hapakuwa na mtu aliyenijibu? Je! Mkono wangu ni mfupi, hata nisiweze kukomboa? Au je! Mimi sina nguvu za kuponya? Tazama, kwa kukemea kwangu naikausha bahari, mito ya maji naifanya kuwa jangwa; samaki wao wanuka kwa sababu hapana maji, nao wafa kwa kiu.