Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 5:13 - Swahili Revised Union Version

Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi yule mtu aliyeponywa hakufahamu ni nani aliyemponya, kwa sababu Isa alikuwa amepotea ndani ya umati ule wa watu waliokuwa hapo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi yule mtu aliyeponywa hakufahamu ni nani aliyemponya, kwa sababu Isa alikuwa amejiondoa katika ule umati wa watu uliokuwa hapo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 5:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


lakini yeye alipita katikati yao, akaenda zake.


Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuoneshe Baba?


Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?


Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.