Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 5:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nao wakamwuliza, “Huyo mtu aliyekuambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee,’ ni nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nao wakamwuliza, “Huyo mtu aliyekuambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee,’ ni nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nao wakamwuliza, “Huyo mtu aliyekuambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee,’ ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wakamuuliza, “Ni mtu gani huyo aliyekuambia uchukue mkeka wako uende?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wakamuuliza, “Ni mtu gani huyo aliyekuambia uchukue mkeka wako uende?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?

Tazama sura Nakili




Yohana 5:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokwisha kuingia hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamwendea alipokuwa akifundisha, wakasema, Ni kwa amri gani unatenda mambo haya? Naye ni nani aliyekupa amri hii?


Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende.


Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.


Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa.


Wakaambiana, Ni nani aliyetenda jambo hili? Walipotafuta habari na kuuliza, wakasema, Gideoni, mwana wa Yoashi, ndiye aliyetenda jambo hili.


Ndipo Sauli akasema, Karibieni hapa, enyi wakuu wote wa watu; mjue na kuona dhambi hii ya leo imekuwa katika kosa gani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo