Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 5:13 - Swahili Revised Union Version

13 Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Basi yule mtu aliyeponywa hakufahamu ni nani aliyemponya, kwa sababu Isa alikuwa amepotea ndani ya umati ule wa watu waliokuwa hapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Basi yule mtu aliyeponywa hakufahamu ni nani aliyemponya, kwa sababu Isa alikuwa amejiondoa katika ule umati wa watu uliokuwa hapo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


lakini yeye alipita katikati yao, akaenda zake.


Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuoneshe Baba?


Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?


Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo