Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 5:11 - Swahili Revised Union Version

11 Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yeye akawajibu, “Yule mtu aliyeniponya aliniambia, ‘Chukua mkeka wako na uende.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yeye akawajibu, “Yule mtu aliyeniponya aliniambia, ‘Chukua mkeka wako na uende.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwambia yule aliyeponywa, Leo ni sabato, wala si halali kwako kujitwika godoro.


Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?


Wakamwambia, Yuko wapi huyo? Akasema, Mimi sijui.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo