Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 5:12 - Swahili Revised Union Version

Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wakamwuliza, “Huyo mtu aliyekuambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee,’ ni nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wakamwuliza, “Huyo mtu aliyekuambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee,’ ni nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wakamwuliza, “Huyo mtu aliyekuambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee,’ ni nani?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamuuliza, “Ni mtu gani huyo aliyekuambia uchukue mkeka wako uende?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamuuliza, “Ni mtu gani huyo aliyekuambia uchukue mkeka wako uende?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 5:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokwisha kuingia hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamwendea alipokuwa akifundisha, wakasema, Ni kwa amri gani unatenda mambo haya? Naye ni nani aliyekupa amri hii?


Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende.


Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.


Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa.


Wakaambiana, Ni nani aliyetenda jambo hili? Walipotafuta habari na kuuliza, wakasema, Gideoni, mwana wa Yoashi, ndiye aliyetenda jambo hili.


Ndipo Sauli akasema, Karibieni hapa, enyi wakuu wote wa watu; mjue na kuona dhambi hii ya leo imekuwa katika kosa gani.