Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 2:3 - Swahili Revised Union Version

Hata divai ilipowaishia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, “Hawana divai!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, “Hawana divai!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, “Hawana divai!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Divai ilipokwisha, mama yake Isa akamwambia, “Wameishiwa na divai.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Divai ilipokwisha, mama yake Isa akamwambia, “Wameishiwa na divai.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata divai ilipowaishia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 2:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na divai imfurahishe mtu moyo wake. Aung'aze uso wake kwa mafuta, Na mkate umburudishe mtu moyo wake.


Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.


Pana kilio katika njia kuu kwa sababu ya divai; furaha yote imetiwa giza, na changamko la nchi limetoweka.


kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


Basi wale dada wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye ni mgonjwa.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.