Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 2:4 - Swahili Revised Union Version

4 Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Yesu akamjibu, “Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Yesu akamjibu, “Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Yesu akamjibu, “Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Isa akamwambia, “Mama, kwa nini unanihusisha? Saa yangu haijawadia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Isa akamwambia, “Mwanamke, nina nini nawe? Saa yangu haijawadia.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.

Tazama sura Nakili




Yohana 2:4
20 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akasema, Nina nini na ninyi, enyi wana wa Seruya? Kwa sababu yeye analaani, na kwa sababu BWANA amemwambia, Mlaani Daudi, basi, ni nani atakayesema, Mbona umetenda haya?


Lakini Daudi akasema, Mimi nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya, hata mmekuwa adui zangu leo? Je! Atauawa mtu yeyote leo katika Israeli? Kwa maana sijui mimi leo ya kwamba ndimi mfalme juu ya Israeli?


Akamwambia Eliya, Nina nini nawe, Ee mtu wa Mungu? Je! Umenijia ili dhambi yangu ikumbukwe, ukamwue mwanangu?


Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.


Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.


Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu? Je! Umekuja kututesa kabla ya wakati wetu?


Akawaambia, Kwa nini mnitafute? Hamkujua ya kuwa imenipasa kuwamo katika nyumba ya Baba yangu?


Naye Yesu akawajibu, akasema, Saa imefika atukuzwe Mwana wa Adamu.


Basi, kabla ya sikukuu ya Pasaka, Yesu, huku akijua ya kuwa saa yake imefika, atakayotoka katika ulimwengu kwenda kwa Baba, naye akiwa amewapenda watu wake katika ulimwengu, aliwapenda upeo.


Hata divai ilipowaishia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.


Nao wakamwambia, Mama, unalilia nini? Akawaambia, Kwa sababu wamemwondoa Bwana wangu, wala mimi sijui walikomweka.


Yesu akamwambia, Mama, unalilia nini? Unamtafuta nani? Naye, huku akidhania ya kuwa ni mtunza bustani, akamwambia, Bwana, ikiwa umemchukua wewe, uniambie ulipomweka, nami nitamwondoa.


Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyeunyosha mkono wake ili kumshika, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Basi Yesu akawaambia, Wakati wangu haujafika bado; ila wakati wenu sikuzote upo.


Pandeni ninyi kwenda kula sikukuu; mimi sipandi bado kwenda kula sikukuu hii, kwa kuwa wakati wangu haujatimia.


Maneno hayo aliyasema alipokuwa akifundisha hekaluni, katika chumba cha hazina; wala hakuna mtu aliyemkamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Hata imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awaye yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemtambua Kristo kwa jinsi ya mwili, lakini sasa hatumtambui hivi tena.


Aliyemtaja baba yake na mama yake, Mimi sikumwona; Wala nduguze hakuwakubali; Wala hakuwajua watoto wake mwenyewe; Maana wameliangalia neno lako, Wamelishika agano lako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo