Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 2:3 - Swahili Revised Union Version

3 Hata divai ilipowaishia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, “Hawana divai!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, “Hawana divai!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, “Hawana divai!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Divai ilipokwisha, mama yake Isa akamwambia, “Wameishiwa na divai.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Divai ilipokwisha, mama yake Isa akamwambia, “Wameishiwa na divai.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Hata divai ilipowaishia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.

Tazama sura Nakili




Yohana 2:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na divai imfurahishe mtu moyo wake. Aung'aze uso wake kwa mafuta, Na mkate umburudishe mtu moyo wake.


Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.


Pana kilio katika njia kuu kwa sababu ya divai; furaha yote imetiwa giza, na changamko la nchi limetoweka.


kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


Basi wale dada wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye ni mgonjwa.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo