Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 16:29 - Swahili Revised Union Version

Basi wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni mithali yoyote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wanafunzi wake wakamwambia, “Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wanafunzi wake wakamwambia, “Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wanafunzi wake wakamwambia, “Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo wanafunzi wake wakasema, “Sasa unazungumza waziwazi, wala si kwa mafumbo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo wanafunzi wake wakasema, “Sasa unazungumza waziwazi, wala si kwa mafumbo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni mithali yoyote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 16:29
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hayo yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; wala pasipo mfano hakuwaambia neno;


Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.


Mithali hiyo Yesu aliwaambia, lakini wao hawakuelewa mambo hayo aliyowaambia.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.