Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 10:6 - Swahili Revised Union Version

6 Mithali hiyo Yesu aliwaambia, lakini wao hawakuelewa mambo hayo aliyowaambia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Isa alitumia mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo aliyokuwa akiwaambia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Isa alitumia mfano huu, lakini wao hawakuelewa hayo aliyokuwa akiwaambia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Mithali hiyo Yesu aliwaambia, lakini wao hawakuelewa mambo hayo aliyowaambia.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:6
20 Marejeleo ya Msalaba  

Baba zetu katika Misri Hawakuzingatia matendo yako ya ajabu; Hawakukumbuka wingi wa fadhili zako; Wakaasi penye bahari, Bahari ya Shamu.


Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.


Watu waovu hawaelewi na haki; Bali wamtafutao BWANA huelewa na zote.


Naam, mbwa hao wana uchu sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno; wote pia wamegeuka upande, wazifuate njia zao wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka pande zote.


Wengi watajitakasa, na kujifanya weupe, na kusafika; bali wabaya watatenda mabaya; wala hataelewa mtu mbaya awaye yote; bali wao walio na hekima ndio watakaoelewa.


Hayo yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; wala pasipo mfano hakuwaambia neno;


Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam.


wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.


Basi wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni mithali yoyote.


Basi Wayahudi walishindana wao kwa wao wakisema, Awezaje mtu huyu kutupa sisi mwili wake ili tuule?


Basi watu wengi miongoni mwa wanafunzi wake waliposikia, walisema, Neno hili ni gumu, ni nani awezaye kulisikia?


Ni neno gani hilo alilolisema, Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja?


Wala hawakutambua ya kuwa anawatajia Baba.


Mbona hamyafahamu hayo niyasemayo? Ni kwa sababu ninyi hamuwezi kulisikia neno langu.


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Lakini imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli, Mbwa ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa matopeni.


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo