Yohana 10:7 - Swahili Revised Union Version7 Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa hiyo Isa akasema nao tena, akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa hiyo Isa akasema nao tena akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo. Tazama sura |