Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 10:8 - Swahili Revised Union Version

8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi; lakini kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyanganyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyanganyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyang'anyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang’anyi, nao kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi, lakini kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi; lakini kondoo hawakuwasikia.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA.


Mwanadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli, toa unabii, uwaambie, naam, hao wachungaji, Bwana MUNGU asema hivi; Ole wao wachungaji wa Israeli, wanaojilisha wenyewe; je! Haiwapasi wachungaji kuwalisha kondoo?


Wakuu wake walio ndani yake ni simba wangurumao; mahakimu wake ni mbwamwitu wa jioni; wasiobakiza kitu chochote mpaka asubuhi.


Kwa maana, tazama, mimi nitainua katika nchi hii mchungaji, ambaye hatawaangalia waliopotea, wala hatawatafuta waliotawanyika, wala hatamganga aliyevunjika, wala hatamlisha aliye mzima; bali atakula nyama ya wanono, na kuziraruararua kwato zao.


Yesu aliwaambia, Amin, amin, nawaambieni, Yeye asiyeingia mlangoni katika zizi la kondoo, lakini akwea penginepo, huyo ni mwizi naye ni mnyang'anyi.


Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.


Mgeni hawatamfuata kabisa, bali watamkimbia; kwa maana hawazijui sauti za wageni.


Kwa sababu kabla ya siku hizi aliondoka Theuda, akijidai ya kuwa yeye ni mtu mkuu, watu wapatao mia nne wakashikamana naye; naye aliuawa na wote waliomsadiki wakatawanyika wakawa si kitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo