Yohana 10:8 - Swahili Revised Union Version8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi; lakini kondoo hawakuwasikia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyanganyi, nao kondoo hawakuwasikiliza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyanganyi, nao kondoo hawakuwasikiliza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyang'anyi, nao kondoo hawakuwasikiliza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang’anyi, nao kondoo hawakuwasikia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Wote walionitangulia ni wevi na wanyang’anyi, lakini kondoo hawakuwasikia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi; lakini kondoo hawakuwasikia. Tazama sura |