Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 15:12 - Swahili Revised Union Version

Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hii ndiyo amri yangu: Pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hii ndiyo amri yangu: Pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amri yangu ndiyo hii: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amri yangu ndiyo hii: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 15:12
16 Marejeleo ya Msalaba  

Nimewapenda ninyi, asema BWANA. Lakini ninyi mwasema, Umetupendaje? Je! Esau siye ndugu yake Yakobo? Asema BWANA; ila nimempenda Yakobo;


Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.


Haya nawaamuru ninyi, mpate kupendana.


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


mkaende katika upendo, kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.


Bwana na awaongeze na kuwazidisha katika upendo, ninyi kwa ninyi, na kwa watu wote, kama vile sisi nasi tulivyo kwenu;


Kuhusu upendano, hamna haja niwaandikie; maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.


Ndugu, imetupasa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kama ilivyo wajibu, kwa kuwa imani yenu inazidi sana, na upendo wa kila mtu kwenu kwa mwenzake umekuwa mwingi.


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.


Neno la mwisho ni hili; muwe na nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


Zaidi ya yote iweni na bidii kubwa katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.


Na hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi, kama alivyotupa amri.


Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampendaye Mungu, ampende na ndugu yake.


Na sasa mama, nakuomba, si kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo, kwamba tupendane.